Habari
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YAPOKEA TAARIFA YA MUUNDO, MGAWANYO WA MAJUKUMU, SHERIA NA SERA ZINAZOSIMAMIWA NA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA TAASISI ZAKE
Viongozi wa Watendaji wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya ofisi hiyo wakiwa kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kilicholenga kupokea taarifa ya Muundo, Mgawanyo wa Majukumu, Sheria na Sera zinazosimamiwa na ofisi hiyo jijini Dodoma.
