Habari
KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA YARIDHISHWA NA JITIHADA ZA MLENGWA WA TASAF WILAYANI UYUI NA KUMCHANGIA 530,000/= KUMUWEZESHA KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Florent Kyombo (wa tatu kutoka kulia) Viongozi na Watendaji wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora pamoja na viongozi wa CCM Wilaya ya Uyui wakiwa katika picha ya pamoja na mlengwa wa TASAF Wilayani Uyui Bi. Amina Abdallah mbele ya nyumba iliyojengwa na mlengwa huyo kutokana na ruzuku ya TASAF anayoipata.