Habari
KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA YAMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS KUWEZESHA UJENZI WA OFISI YA MAKAO MAKUU YA TAKUKURU DODOMA ITAKAYOIMARISHA MAPAMBANO DHIDHI YA RUSHWA

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU) Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa jengo la taasisi yake kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo iliyolenga kukagua mradi wa ujenzi wa jengo hilo Makao Makuu jijini Dodoma.