Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA YAMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS KUWEZESHA UJENZI WA OFISI YA MAKAO MAKUU YA TAKUKURU DODOMA ITAKAYOIMARISHA MAPAMBANO DHIDHI YA RUSHWA


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Joseph Mhagama akiwa na wajumbe wa kamati yake wakimsikiliza Mshauri Mwelekezi kutoka Wakala ya Majengo Tanzania (TBA) alipokuwa akitoa maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa jengo la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo iliyolenga kukagua mradi wa ujenzi wa jengo hilo Makao Makuu jijini Dodoma. Wengine Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na watendaji wa Serikali.