Habari
KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA YAMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS KUWEZESHA UJENZI WA OFISI YA MAKAO MAKUU YA TAKUKURU DODOMA ITAKAYOIMARISHA MAPAMBANO DHIDHI YA RUSHWA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Joseph Mhagama na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama wakiwasili kukagua mradi wa ujenzi wa jengo la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo iliyolenga kukagua mradi wa ujenzi wa jengo hilo Makao Makuu jijini Dodoma. Wengine ni wajumbe wa kamati hiyo pamoja na watendaji wa Serikali.