Habari
KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YAIPONGEZA OFISI YA RAIS-UTUMISHI KWA KUJIPANGA KIKAMILIFU KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE

Sehemu ya Wakurugenzi wa taasisi zilizopo chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Joseph Mhagama wakati wa kikao kazi cha kamati hiyo na ofisi hiyo kuhusu Utekelezaji wa Mpango na Bajeti Kwa Mwaka 2022/23 kilichofanyika jijini Dodoma.