Habari
IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI NA UADILIFU KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ACP Ibrahimu Mahumi akitambulisha watendaji alioambatana nao kwenye kikao kazi cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa leo jijini Dodoma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa mwaka wa fedha 2021/2022.