Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

eGA YATAKIWA KUENDELEA KUFANYA TAFITI NA KUBUNI MIFUMO ITAKAYOIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KAMA ILIVYOELEKEZWA NA RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wakuu wa taasisi za umma (waliosimama) na viongozi (waliokaa) mara baada ya kufungua kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao jijini Arusha kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA).