Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

eGA YATAKIWA KUENDELEA KUFANYA TAFITI NA KUBUNI MIFUMO ITAKAYOIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KAMA ILIVYOELEKEZWA NA RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) Mhandisi Benedict Ndomba akieleza majukumu yaliyotekelezwa na mamlaka yake wakati wa kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao kilichofunguliwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi jijini Arusha.