Habari
eGA YATAKIWA KUENDELEA KUFANYA TAFITI NA KUBUNI MIFUMO ITAKAYOIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KAMA ILIVYOELEKEZWA NA RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) Mhandisi Benedict Ndomba akieleza majukumu yaliyotekelezwa na mamlaka yake wakati wa kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao kilichofunguliwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi jijini Arusha.