Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

eGA YATAKIWA KUENDELEA KUFANYA TAFITI NA KUBUNI MIFUMO ITAKAYOIMARISHA MATUMIZI YA TEHAMA KAMA ILIVYOELEKEZWA NA RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN


Washiriki wa kikao kazi cha tatu cha serikali mtandao wakisikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati akifungua kikao kazi hicho jijini Arusha kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama kilichoandaliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA).