Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

DKT. NDUMBARO AELEKEZA MWONGOZO WA MPANGO WA URITHISHANAJI MADARAKA UBORESHWE KUENDANA NA DHAMIRA YA MHE. RAIS YA KUUJENGA UTUMISHI WA UMMA WENYE UADILIFU NA UWAJIBIKAJI


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na wadau walioshiriki kikao kazi cha kujadili Mwongozo wa Mpango wa Urithishanaji Madaraka katika Utumishi wa Umma kilichofanyika ukumbi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.