Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WAZIRI MHE. SIMBACHAWENE AZITAKA TAASISI ZA UMMA KUZINGATIA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA KATIKA KUTOA HUDUMA BORA


Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Taasisi, Bw. Nolasco Kipanda akizungumza wakati wa utoaji vyeti na Tuzo mbalimbali kwa Taasisi za Umma wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo Kitaifa yamnefanyika katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.