Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Cosmas Ngangaji (aliyesimama) akizungumza na Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo (hawapo pichani) wakati akifungua kikao kazi cha kuwajengea uwezo maafisa hao mkoani Manyara. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathimini wa Ofisi hiyo Bw. Patrick Allute.