Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifatilia mafunzo kuhusu uadilifu kutoka kwa mwezeshaji ambaye ni Mkurugenzi msaidizi Sehemu ya Ukuzaji Maadili Bw. Ally Ngowo (hayupo pichani) Disemba 22, 2025 Mtumba, Jijini Dodoma.