Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (aliyesimama kulia) akiteta jambo na Mwezeshaji wa mafunzo Balozi Mhe. Omar Kashera (aliyesimama kushoto) baada ya kuhitimishwa kwa mafunzo ya kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi watumishi wa ofisi hiyo yaliyofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.