Sehemu ya Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi (hayupo pichani) wakati wa Mkutano wake na Waandishi wa Habari kuhusu utoaji wa Vibali vya Ajira kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 na Mwaka 2025/26 uliofanyika katika Ofisi hiyo, Jijini Dodoma.