Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi (Katika Mbele) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Xavier Daudi (Wa kwanza kushoto), Viongozi na Watumishi wakifuatilia mada kuhusu namna bora ya kulinda taswira nzuri ya taasisi kutoka kwa Mkufunzi Moses Raymond (Hayupo pichani) wakati wa mafunzo ya uelewa yanayofanyika kila Jumatatu ya Wiki katika Ofisi hiyo Mtumba jijini Dodoma tarehe 15 Desemba, 2025.