Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akiteta jambo na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa ofisi hiyo, Bi. Mary Mwakapenda wakati alipofika kukagua maendeleo ya maandalizi ya ufunguzi rasmi wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayotarajiwa kufanyika tarehe 17 Juni, 2025 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.