Habari
WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWAJIBIKA KATIKA KUSIMAMIA MIRADI ILI FEDHA INAYOTOLEWA NA MHE. RAIS ITUMIKE KULETA MAENDELEO

Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani), alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa umma wa halmashauri hiyo.