Habari
WATUMISHI WA TAKUKURU WILAYANI KILOLO WATAKIWA KUITUNZA OFISI MPYA NA MIUNDOMBINU YAKE ILI ITUMIKE KUPAMBANA NA RUSHWA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na watumishi wa TAKUKURU mara baada ya kukagua ujenzi wa jengo jipya la ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Bw. Peres Magiri na Kushoto kwake ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bi. Neema Mwakalyelye.