Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WAFANYA UTALII HIFADHI YA TAIFA TARANGIRE KUMUUNGA MKONO MHE. RAIS KUUTANGAZA UTALII

Afisa Uhifadhi wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, Bw. Godfrey Mwakapeje akieleza vivutio vilivyopo katika hifadhi hiyo kwa Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.