Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WACHANGIA DAMU KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KULINDA RASILIMALIWATU NCHINI

Mkuu wa Kitengo cha Damu Salama, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Dkt. George Mkira akitoa shukrani kwa Uongozi na watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wenye uhitaji.