Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WACHANGIA DAMU KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KULINDA RASILIMALIWATU NCHINI

Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakijiorodhesha kushiriki kuchangia damu katika Kituo Kidogo cha Damu Salama, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kujenga mahusiano na jamii.