Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WACHANGIA DAMU KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KULINDA RASILIMALIWATU NCHINI

Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakichangia damu katika Kitengo cha Damu Salama, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuokoa maisha ya watanzania wenye uhitaji wa damu.