Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WACHANGIA DAMU KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KULINDA RASILIMALIWATU NCHINI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akiwaongoza watumishi wa ofisi yake kupata vipimo vya awali kabla ya kuchangia damu katika Kituo Kidogo cha Damu Salama, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.