Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WACHANGIA DAMU KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KULINDA RASILIMALIWATU NCHINI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumzia uchangiaji wa damu uliofanywa na watumishi wa ofisi yake katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma wakati akihitimisha shughuli za kijamii zilizofanywa na ofisi yake jijini Dodoma kwa lengo la kujenga mahusiano mazuri na jamii.