Habari
WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI KUPATIWA MAFUNZO YA AKILI YA KUHIMILI HISIA BINAFSI NA ZA WATEJA ILI WAWEZE KUTOA HUDUMA BORA

Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Mariam Salim akiwasilisha hoja kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro wakati wa kikao kazi cha Katibu Mkuu huyo na watumishi hao kilicholenga kutatua changamoto zinazowakabili na kuhimiza uwajibikaji.