Habari
VIONGOZI NA WATENDAJI WA OFISI YA RAIS-UTUMISHI WAWASILISHA MADA NA KUTOA UFAFANUZI WA MASUALA YA KIUTUMISHI KWENYE MKUTANO WA KUMI WA KITAALUMA WA TAPSEA ULIOANZA JANA MKOA WA KUSINI UNGUJA, ZANZIBAR

Sehemu ya washiriki wa Mkutano wa Kumi wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati akitoa salamu za Ofisi yake katika mkutano huo unaoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.