Habari
VIONGOZI MANISPAA YA IRINGA WATAKIWA KUZINGATIA MASLAHI YA WATUMISHI ILI KUWAJENGEA MORALI YA UTENDAJI KAZI

Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi hao wa umma.