Habari
TAKUKURU YATAKIWA KUTOA MAFUNZO YA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KWA WATENDAJI WA KATA ILI WASHIRIKI KIKAMILIFU MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Sehemu ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI) wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (aliyesimama) wakati naibu waziri huyo alipokuwa akifungua mafunzo ya Programu ya TAKUKURU RAFIKI yaliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) jijini Dodoma.