Habari
TAKUKURU YATAKIWA KUTOA MAFUNZO YA PROGRAMU YA TAKUKURU RAFIKI KWA WATENDAJI WA KATA ILI WASHIRIKI KIKAMILIFU MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akizungumza kabla ya kuanza kwa mafunzo kuhusu Programu ya TAKUKURU RAFIKI yaliyotolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Wajumbe wa Kamati yake jijini Dodoma.