Habari
SERIKALI YATAKA WANAOKAIMISHWA NAFASI ZA MADARAKA KUWA NA SIFA STAHIKI

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mratibu wa TASAF, John Chacha mara baada ya kukagua barabara katika Kijiji cha Nyamwaga iliyotengenezwa na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Wilaya ya Tarime mkoani Mara mara baada ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani humo.