Habari
SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WAAJIRI WANAOENDESHA MASHAURI YA KINIDHAMU BILA KUZINGATIA TARATIBU - Mhe. Jenista

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Baraza Kuu la Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) mara baada ya Waziri huyo kufungua mkutano wa baraza hilo jijini Dodoma.