Habari
SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI YATAKIWA KUYAFANYIA KAZI KWA UADILIFU NA WELEDI MALALAMIKO YA WANANCHI DHIDI YA VIONGOZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiagana na Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu Mhe. Sivangilwa Mwangesi mara baada ya Mhe. Jenista kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.