Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI YATAKIWA KUYAFANYIA KAZI KWA UADILIFU NA WELEDI MALALAMIKO YA WANANCHI DHIDI YA VIONGOZI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mara baada ya kufungua mkutano wa baraza hilo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Waliokaa kushoto ni Kamishna wa Maadili, Jaji Mstaafu, Mhe. Sivangilwa Mwangesi.