Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAWAPA MATUMAINI WENYE UHITAJI KWA KUTOA MSAADA WA KIJAMII

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (Aliyekaa na watoto chini) akiwa katika picha ya pamoja na watoto wanaolelewa katika kituo cha Matumaini Mihuji alipokitembelea kituo hicho kwa lengo la kutoa msaada wa kijamii.