Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAWAPA MATUMAINI WENYE UHITAJI KWA KUTOA MSAADA WA KIJAMII

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi akiwapatia zawadi watoto wanaolelewa katika Nyumba ya Amani na Furaha Hombolo alipokitemebela kituo hicho kwa lengo la kutoa msaada wa mahitaji ya vitu mbalimbali jijini Dodoma.