Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI YA UTENDAJI KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Leila Mavika akiwasilisha mada kuhusu misingi ya maadili ya utendaji katika utumishi wa umma wakati wa mafunzo maalumu kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.