Habari
OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI YA UTENDAJI KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA

Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Felister Shuli akiwasilisha mada kuhusu haki na wajibu wa mtumishi wa umma wakati wa mafunzo maalumu kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.