Habari
MILIONI 264.3 ZA TASAF ZATUMIKA KUSOGEZA HUDUMA ZA AFYA KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA IKELU KAMA ALIVYOELEKEZA MHE. RAIS

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akielekea kukagua zahanati ya Kijiji cha Ikelu, Halmashauri ya Mji Makambako mkoani Njombe mara baada ya kukagua nyumba ya watumishi wa zahanati hiyo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF Makambako.