Habari
MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZA UZUSHI KUHUSIANA NA NDEGE YA RAIS Gulf Stream (G550)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ndege za Serikali mara baada ya kuzindua Bodi hiyo jijini Dar es Salaam.