Habari
MHE. SIMBACHAWENE AIPONGEZA WHI KWA KUENDELEA KUJENGA MAKAZI BORA YA WATUMISHI , ASISITIZA KUJENGA ZAIDI KARIBU NA MAENEO YA KAZI

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akimuonyesha Mtendaji wa Watumishi Housing Investments (WHI), Dkt. Fred Msemwa namna alivyovutiwa na mojawapo ya nyumba zilizojengwa na Watumishi Housing Investments (WHI) walipokuwa wakimsubiri Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene kukagua mradi wa nyumba hizo eneo la Kisasa Relini jijini Dodoma.