Habari
MHE. RIDHIWANI KIKWETE AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA IDARA YA UENDELEZAJI RASILIMALIWATU

Afisa Tawala Mkuu anayesimamia sehemu ya Ushirikiano wa kimataifa, Bi. Mwanamridu Jumaa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya sehemu anayoisimamia kwa Naibu waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma.