Habari
MHE. RIDHIWANI KIKWETE AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA IDARA YA UENDELEZAJI RASILIMALIWATU

Watumishi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na watumishi hao kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini Dodoma