Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE NDEJEMBI AWATAKA WATENDAJI SERIKALINI KUWAHAMASISHA WANANACHI KUSHIRIKI KIKAMILIFU UTEKELEZAJI WA MIRADI YA TASAF


Sehemu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Budekwa wilayani Maswa wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kukagua mradi wa ujenzi wa bweni la wasichana katika shule hiyo.