Habari
MHE. NDEJEMBI AWAASA WATUNZA KUMBUKUMBU SERIKALINI KUTUNZA SIRI KAMA MHE. RAIS ALIVYOELEKEZA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi kabla ya Mhe. Ndejembi kuufunga mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) jijini Arusha.