Habari
MHE. NDEJEMBI AWAASA WATUNZA KUMBUKUMBU SERIKALINI KUTUNZA SIRI KAMA MHE. RAIS ALIVYOELEKEZA

Sehemu ya washiriki wa mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani) wakati akifunga mkutano wao jijini Arusha.