Habari
MHE. NDEJEMBI AWAASA WATUNZA KUMBUKUMBU SERIKALINI KUTUNZA SIRI KAMA MHE. RAIS ALIVYOELEKEZA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Watunza Kumbukumbu wakati akifunga mkutano mkuu wa 10 wa Chama cha Kitaaluma cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) jijini Arusha.