Habari
MHE. NDEJEMBI AKEMEA TABIA YA WIZI KWA WATUMISHI INAYOKINZANA NA DHAMIRA YA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN YA KUJENGA UADILIFU

Afisa Tawala wa Wilaya ya Ilala, Bi. Charangwa Makwiro akitoa neno la shukrani kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi mara baada ya kuzungumza na watumishi wa Wilaya ya Ilala (hawapo pichani), wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kuhimiza uwajibikaji na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa umma walio katika wilaya hiyo.