Habari
MHE. JENISTA NA MHE. SULEIMAN WAFANYA KIKAO KAZI KUJADILI NAMNA YA KUBORESHA UTENDAJI KATIKA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akiwasilisha kwa Mhe. Jenista Mhagama na Mhe. Haroun Suleiman maazimio ya kikao kazi kilichojadili namna ya kuboresha utendaji kazi katika Utumishi wa Umma na Utawala Bora.