Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA NA MHE. SULEIMAN WAFANYA KIKAO KAZI KUJADILI NAMNA YA KUBORESHA UTENDAJI KATIKA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA


Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Haroun Suleiman akiongoza kikao kazi cha kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi katika Utumishi wa Umma na Utawala Bora.