Habari
MHE. JENISTA NA MHE. SULEIMAN WAFANYA KIKAO KAZI KUJADILI NAMNA YA KUBORESHA UTENDAJI KATIKA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waandishi wa Habari Unguja Zanzibar, mara baada ya kumalizika kwa kikao kazi chake na Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Haroun Suleiman kilicholenga kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi katika Utumishi wa Umma na Utawala Bora.