Habari
MHE. JENISTA AWASISITIZA WATENDAJI WA OFISI YAKE KUWA NA KAULI NZURI NA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI NA WATUMISHI WANAOWAHUDUMIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akifungua Mkutano Maalum wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora uliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara.