Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA ATOA WITO KWA WAKAZI WA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA KURASIMISHA ARDHI ILI KUPATA MTAJI WA KUJENGA NYUMBA ZA WAGENI ZINAZOHITAJIWA NA WATALII


Sehemu ya wajasiriamali na wafanyabiashara wa Mkokotoni, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao mara baada ya kuzindua Kituo Jumuishi cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara, Zanzibar.